
It’s not unusual for your periods to change overtime. Bleeding can get heavier or lighter, and cramps can come and go. But sometimes, changes in your menstruation can be the sign of a problem. Endometriosis, fibroids, pelvic inflammatory disease (PID) and sexually transmitted infections (STIs) can all cause menstrual problems. Find out what’s normal when it comes to periods, and when you should seek help.
Hedhi zangu ni za kawaida?
Wanawake wengi huona hedhi kila baada ya siku 28, ingawa siku 21 hadi 40 ni kawaida.
Kwa ujumla, hedhi hudumu kwa takriban siku tano. Kutokwa na damu huwa kwa kasi zaidi siku za mwanzo. Kwa hatua hii, ni kawaida damu kuwa nyekundu sana. Baada ya hapo hubadilika kuwa ya rangi ya waridi kisha hudhurungi au nyeusi kadiri damu inapopungua. Wanawake wengi hupoteza karibu vijiko 2 au 3 vya damu wakati wa hedhi yao.
Ni kawaida kupata maumivu ya tumbo ambayo huanza kabla ya kupata hedhi na hudumu kwa siku tatu. Ikiwa unakabiliwa na maumivu ya hedhi, kuna mambo machache unayoweza kufanya ili kukusaidia. Ingawa mazoezi yanaweza kuwa kitu cha mwisho unachokifikiria, kutembea tu kunaweza kupunguza maumivu yako. Unaweza pia kujaribu dawa za kutuliza maumivu zinazouzwa bila agizo la daktari.
Ikiwa unapata shida kukabiliana na kutokwa na damu au maumivu, inaweza kuwa ishara ya shida.
Kipindi chenye damu nyingi huhesabiwaje?
Unaweza kuwa tayari unashuku kuwa na hedhi nzito lakini inaweza kuwa vigumu kuhakikisha.
One way to tell if your periods are heavier than they should be is if you’re getting through a sanitary pad every hour or two or have to get up in the night to change your pad. Another sign is if you have clots of blood that are bigger than a 100 shilling coin.
Unapaswa kutafuta msaada kwa ajili ya hedhi nzito na yenye maumivu lini?
Ikiwa unavuja damu nyingi kiasi cha kuleta ugumu katika maisha yako, ni wakati wa kupata uchunguzi. Hata kama hakuna tatizo kubwa linalosababisha hedhi yako kuwa nzito, kupoteza damu nyingi kila mwezi kunaweza kusababisha ugonjwa unaoitwa upungufu wa damu (anaemia). Upungufu wa damu unaweza kukufanya ujisikie mgonjwa na uchovu sana.
Pata pia uchunguzi ikiwa:
· you notice a change to the period pain you’re experiencing
· your period arrives much earlier or later than it normally does
· you’re bleeding in between periods or after sex
Ni nini kinachosababisha mabadiliko katika hedhi yangu?
Ukiinza kutumia kidonge cha kuzuia mimba au njia nyinginezo za homoni, utaona mabadiliko kwenye hedhi yako. Hedhi yako inapaswa kurudi katika hali ya kawaida baada ya miezi michache. Vifaa vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUDs) vinaweza kusababisha hedhi yako kuwa nzito zaidi, lakini haipaswi kuwa nzito kiasi cha kushindwa kustahimili.
If you don’t think either of these are to blame, you could have one of these conditions. They are all treatable, so talk to MSI about getting help.
Fibroids
Fibroids ni uvimbe unaokua ndani au kuzunguka mfuko wa uzazi. Si Saratani. Mbali na hedhi yenye maumivu na nzito na kutokwa na damu kati ya hedhi, wanaweza kusababisha:
· pain or pressure in your lower tummy or back
· constipation or feeling the need to wee a lot
· pain or discomfort when you’re having sex
They can vary in size from a pea to a melon. The bigger they are, or the more fibroids you have, the more likely it is you’ll get symptoms.
Kulingana na jinsi ambavyo umeathirika, wanaweza pia kulaumiwa ikiwa unajikuta unatatizika kupata mimba.
Ugonjwa wa kuvimba kwa mfumo wa uzazi wa kike
Ugonjwa unaojulikana kama PID (Pelvic Inflammatory disease) unaweza kusababishwa na magonjwa ya zinaa kama klamidia na kisonono ambavyo havijatibiwa ipasavyo.
PID inaweza kusababisha maumivu katika tumbo lako la chini na kutoka damu kati ya hedhi au unapofanya ngono. Utoaji wako wa ukeni unaweza kubadilika na wakati mwingine unaweza pia kupata homa.
Cisti za ovari
Hizi mifuko iliyojaa kimiminika hukua kwenye ovari zako na ni jambo la kawaida sana. Kawaida hupotea yenyewe bila wewe hata kujua. Lakini zikikua sana, zinaweza kusababisha hedhi nzito na maumivu katika sehemu yako ya chini ya tumbo.
Endometriosis
Endometriosis inaweza kusababisha hedhi nzito sana, yenye maumivu makali, au isiyo ya kawaida ambayo ni vigumu sana kudhibiti. Endometriosis pia inaweza kusababisha utasa.
Maumivu ya endometriosis kwa kawaida huongezeka wakati wa hedhi yako, lakini yanaweza kudumu kwa mwezi mzima. Pia yanaweza kuwa makali zaidi unapokojoa au kupata choo. Unaweza pia kuhisi maumivu wakati wa au baada ya ngono na kuhisi kichefuchefu, kuwa na kuvimbiwa au kuharisha.
Mimba ya nje ya mfuko wa uzazi
Ujauzito wa nje ya mfuko wa uzazi hutokea wakati mtoto anapoanza kukua nje ya mfuko wako wa uzazi. Kawaida utakosa siku zako za hedhi lakini kama zitakuja, zitakuwa na rangi ya hudhurungi na zitakuwa na maji mengi. Unaweza pia kupata maumivu katika tumbo la chini upande mmoja.
Mimba ya nje haiwezi kuokolewa. Inaweza kuwa hatari kwa maisha ikiwa itakua sana kwa hivyo inahitaji matibabu ya haraka.
Where can I get help for painful, heavy or irregular periods? If your periods have changed or you think you may have one of these conditions, get in touch with us or visit one of our clinics.
